sw_tn/psa/022/003.md

588 B

umeketi kama mfalme na sifa za Israeli

"sifa za Israeli ni kiti cha enzi ambacho unaketi kama mfalme." Sifa za Israeli zinaelezwa kana kwamba ni kiti cha enzi ambacho Mungu anaketi na kutawala, au nyumba ambayo Mungu anaweza kuishi. "wewe ni mfalme na watu wa ISraeli wanakusifu"

za Israeli

Hapa "Israeli" inamaanisha watu wa Israeli.

hawakuvunjwa matarajio

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na haukuvunja matarajio yao" au "haukuwaangusha"

hawakuvunjwa matarajio

Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "na ukawaokoa" au "ukawafanyia walichohitaji uwafanyie"