sw_tn/psa/021/009.md

682 B

Katika kipindi cha hasira yako

"Utakapotokea katika hasira yako"

hasira yako ... Utaangamiza

Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) Mungu au ni 2) mfalme.

utawachoma kama tanuu ya moto

Yahwe au mfalme kuwaangamiza adui inazungumziwa kana kwamba adui ni mbao na Yahwe au mfalme atawatupa katika tanuu.

Yahwe atawamaliza katika gadhabu yake, na moto utawateketeza

Vishazi vyote viwili vina maana sawa. Yahwe kuwaangamiza kabisa adui zake inazungumziwa kana kwamba gadhabu yake ni moto unaowaunguza kabisa adui zake.

kutoka duniani ... kutoka kwa wanadamu

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja. Inaweka mkazo kuwa hakuna adui yao hata mmoja atakayepona.