694 B
694 B
Wengine wanatumaini vibandawazi na wengine farasi
Hapa "vibandawazi" na "farasi" zinamaanisha jeshi la mfalme.
na wengine farasi
Neno "tumaini" linaeleweka. "na wengine wantumaini farasi"
tunaita
Wanaoita ni mfalme na watu wake.
Wataletwa chini na kuanguka
Wanaoletwa chini ni watu wanaotumaini vibandawazi na farasi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu atawaleta chini na kuwafanya waanguke"
kuletwa chini na kuanguka
Vitenzi hivi viwili vinamana sawa. Zote mbili zinamaanisha kushindwa kwenye mapambano.
tutanyanyuka na kusimama wima
"tutainuka na kusimama wima." Misemo hii miwli inamaana ya kufanana. Zote mbili zinamaanisha ushindi katika mapambano.