sw_tn/psa/020/007.md

694 B

Wengine wanatumaini vibandawazi na wengine farasi

Hapa "vibandawazi" na "farasi" zinamaanisha jeshi la mfalme.

na wengine farasi

Neno "tumaini" linaeleweka. "na wengine wantumaini farasi"

tunaita

Wanaoita ni mfalme na watu wake.

Wataletwa chini na kuanguka

Wanaoletwa chini ni watu wanaotumaini vibandawazi na farasi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu atawaleta chini na kuwafanya waanguke"

kuletwa chini na kuanguka

Vitenzi hivi viwili vinamana sawa. Zote mbili zinamaanisha kushindwa kwenye mapambano.

tutanyanyuka na kusimama wima

"tutainuka na kusimama wima." Misemo hii miwli inamaana ya kufanana. Zote mbili zinamaanisha ushindi katika mapambano.