705 B
705 B
Na atilie akilini
Msemo huu "atilie akilini" ni njia nyingine ya kusema "akumbuke." Haimaanishi kuwa Mungu alisahau. Inamaanisha kutafakari au kuwazia. "Na akumbuke"
Na atilie
Hapa anayezungumziwa ni Yahwe.
Sela
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.
Na awape
"Na awapatie"
hamu ya moyo wako
Hapa "moyo" unamaanisha mtu mzima. Nomino dhahania "hamu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "unachotamani" au "unachotaka"
kutimiza mipango yako yote
Nomino dhania ya "mipango" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "na akusaidie kutimiza kila jambo ulilopanga kufanya"