sw_tn/psa/020/001.md

938 B

Taarifa ya Jumla:

Zaburi hii inaanza na kundi la watu wakizungumza na mfalme wa Israeli.

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Kwa mwanamuziki mkuu

"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"

Zaburi ya Daudi

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.

ukusaidie

Anayesaidiwa hapa ni mfalme.

siku ya shida

Hapa "siku" inamaanisha muda mrefu zaidi. "nyakati za shida"

jina la Mungu wa Yakobo

Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Mungu"

Mungu wa Yakobo

hii inamaanisha babu yao Yakobo, aliyemwabudu Yahwe.

tuma msaada kutoka sehemu takatifu

Mungu kuwasaidia kutoka sehemu yake takatifu inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anatuma msaada. "na Yahwe awasaidie kutoka sehemu yake takatifu"

sehemu takatifu ... Sayuni

Zote hizi zinamaansiha hekalu la Mungu Yerusalemu.