sw_tn/psa/018/025.md

480 B

Taarifa ya

Mwandishi anazungumza na Yahwe

Kwa yeyote aliye mwaminifu

Hapa "mwaminifu" inamaanisha kufanya kile ambacho Mungu anamuamuru mtu kufanya. "kwa wale walio wanaotii kwa uaminifu amri zako" au "kwa wale wanaofanya agano lako kwa uaminifu"

kwa mwanamme asiye na lawama ... ujioneshe msafi

Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudi mawazo haya kwa ajili ya mkazo.

una akili kwa yeyote aliye mkaidi

"Unamshinda kwa akili yeyote asiye wazi"