sw_tn/psa/018/020.md

448 B

mikono yangu ilikuwa misafi

Hapa kuwa na "mikono misafi" inamaanisha mtu hana hatia. "matendo yangu yote yalikuwa sawa"

Nimetunza njia za Yahwe

Sheria za Yahwe zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa njia ambazo mtu anapaswa kutembea. "Nimetii sheria za Yahwe"

sijageuka kwa uovu kutoka njia ya Mungu

Hapa kuwa mwovu inazungumziwa kama mtu kuacha njia sahihi na kufuata njia isiyo sahihi. "sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu wangu"