sw_tn/psa/017/015.md

345 B

Nitauona uso wako katika haki

Hapa "uso" unamwakilisha Yahwe. Daudi anaujasiri kuwa atamuona Yahwe. "kwa sababu ninatenda yaliyo sawa, nitakuwa na wewe siku moja"

Nitaridhika nitakapoamka, na kukutazama wewe

Daudi anaamini kuwa baada ya kufa, atakuwa na Yahwe. Hii naweza kuweka wazi. "Baada ya kufa, nitafurahi kuamka katika uwepo wako"