sw_tn/psa/017/004.md

478 B

ni kwa neno la midomo yako nimetunza kutoka katika njia za wahalifu

Hapa "neno la midomo yako" inamaanisha maelekezo ya Mungu. "maelekezo yako yamenisabisha kuepuka kufanya mambo maovu"

Hatua zangu zimeshikilia kwa nguvu kwenye njia zako; miguu yangu yaijateleza

Vishazi hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Kurudia kunaongeza msisitizo.

miguu yangu yaijateleza

Mwandishi anazungumzia kumtii Mungu kana kwamba anatembea katika mjia. "nimedhamiria kufuata njia zako"