sw_tn/psa/015/003.md

208 B

Hakashifu

Hii inaashiria mtu mwenye haki katika 15:1.

Hakashifu kwa ulimi wake

Hapa "ulimi" unaashiria maneno maovu. "Hasemi mambo maovu kuhusu watu wasio na hatia"

Hadhuru

"kuumiza" au "kuharibu"