429 B
429 B
anachunguza
"kuangalia kwa umakini"
wanaofanya fujo
"kuumiza wengine"
Anawanyeshea moto wa makaa na kibiriti juu ya waovu; upepo unaochoma utakua sehemu yao kutoka kwenye kikombe chake!
Adhabu ya Mungu inaelezwa kana kwamba yalikuwa makaa ya moto na kibiriti kutoka kwenye volkano. "Anawaadhibu waovu; hakutakuwa na nafuu kwao!"
kibiriti
Hili ni jina lingine la salfa
wataona uso wake
"kuwa kwenye uwepo wake"