sw_tn/psa/010/013.md

399 B

Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema ... "Hutaniwajibisha"?

Mwandishi anatumia swali hili kuonesha kuwa anachosema ni cha kusikitisha sana kuwa watu waovu wanafanya vitu hivi. "Watu waovu humktaa Mungu kila wakati na kusema .. 'Hautaniwajisbisha.'"

Hutaniwajibisha

"Hutaniomba kukueleza kwa nini ninafanya ninachokifanya." Kumwajibisha mtu hapa inaashiria kumwadhibu. "Hautaniadhibu"