sw_tn/psa/008/003.md

551 B

mbingu zako, ambazo vidole vyako

Vidole vya Mungu vinaashiria ni yeye. "mbingu ulizoumba"

binadamu ana umuhimu gani hadi umtambue, au mtu hadi umwangalie?

Misemo hii inaelezwa kwa njia ya swali kuongeza msisitizo. "Ni ajabu kuwa unawawaza watu na kuwajali!"

binadamu ... mtu

Misemo hii yote inamaanisha watu kwa ujumla.

umewavika taji la utukufu na heshima

Utukufu na heshima zinazungumziwa kana kwamba ni mataji. Maneno "utukufu" na "heshima" yanakaribiana kwa maana. "umewapa utukufu na heshima" au "umewasababisha kuwa kama wafalme"