sw_tn/psa/005/007.md

497 B

nyumba yako

Hii inamaanisha hekalu la Mungu. "hekalu lako"

niongoze katika haki yako

Daudi anazungumzia haki kana kwamba ni njia na kufundisha kama kuongoza. Msemo "haki yako" unamaanisha kuwa Mungu ni mwenye haki. "nifundishe kufanya kilicho na haki kama wewe ufanyavyo"

nyosha njia yako mbele yangu

Daudi anazungumzia haki kana kwamba ni njia. Njia iliyonyoka ni rahisi kuona na kutemebelea. "nionesha vizuri jinsi ya kuisha njia sahihi" au "ifanye rahisi kwangu kufanya yaliyo sawa"