sw_tn/pro/30/07.md

672 B

weka upuuzi na uongo mbali nami

"usiruhusu watu waongee upuuzi na uongo kwangu" au "usiniruhusu kuongea upuuzi na uongo"

upuuzi

uongo, maneno ambyo hana maana

usinipe umaskini wala utajiri

"usiruhusu niwe maskini sana wala tajiri sana"

kama nitapata vingi sana, nitakukataa wewe na kusema

Ni hali ya nadharia, msemaji si tajiri lakini inawezekana kuwa tajiri

kama nitakuwa maskini, nitaiba na kukufuru

Hii inaelezea hali ya nadharia ambayo haijatokea lakini inawezekana mwandishi akawa maskini

nitaiba na kukufuru jina la Mungu

"nitawafanya watu wanaojua kuwa nimeiba vitu wafikiri kuwa hakuna Mungu" au " Nitaharibu heshima ya Mungu kwa kuiba"