sw_tn/pro/25/09.md

325 B

hoja yako

"mabishano yako"

usiifunue siri ya mtu mwingine

" usiwashirikishe watu wengine siri ya jirani yako"

na habari mbaya juu yako ambayo haiwezi kunyamazishwa

"wala hutaweza kumzuia kuwaambia wengine mambo mabaya juu yako" au " na atawaambia wengine watu mambo mabaya juu yako na hutakuwa na sifa njema tena"