325 B
325 B
hoja yako
"mabishano yako"
usiifunue siri ya mtu mwingine
" usiwashirikishe watu wengine siri ya jirani yako"
na habari mbaya juu yako ambayo haiwezi kunyamazishwa
"wala hutaweza kumzuia kuwaambia wengine mambo mabaya juu yako" au " na atawaambia wengine watu mambo mabaya juu yako na hutakuwa na sifa njema tena"