sw_tn/pro/20/07.md

279 B

hutembea katika uadilifu

"huishi kwa uadilifu wake" au " huishi kwa uamninifu"

mwana wake watafuata baada yake

"mwana wake baada yake"

hupepeta kwa macho yake mabaya yote ambayo yapo mbele yake

"huona na kuchambua maovu ya namna mbalimbali ambayo huletwa mbele yake"