sw_tn/pro/20/01.md

731 B

mvinyo ni dhihaka na kileo ni mgomvi

Hapa inaeleza juu ya hatari ya kunywa pombe nyingi

mvinyo ni dhihaka

"mtu ambaye hulewa kwa mvinyo hudhihaki"

kileo ni mgomvi

"mtu ambaye hulewa kwa kileo huanzisha mapinga"

mgomvi

mtu ambaye hupigan kwa makelele, hasa katika sehemu za watu wengi

yeyote ambaye hupotea kwa kunywa hana busara

"anayekunywa hadi kushindwa kufikiri vizuri "

kwa kunywa

"kunywa" hapa inamaanisha kunywa pombe

hana busara

"ni mpumbavu"

kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana anayeunguruma

ghadhabu ya mfalme hufanya watu waogope kama vile wanakabiliana na simba kijana mwenye kuunguruma"

mwenye kumkasirisha

"kumfanya mfalme akasirike"

hufidia uhai wake

"atakufa"