sw_tn/pro/18/05.md

334 B

si vema kwa...kwa mtu mwenye haki

"Ni vema kumtendea mtu mwovu kama anavyositahili, na kutenda haki kwa mtu mwenye haki"

midomo ya mpumbavu huleta

"anasema mtu mpumbavu huleata"

huleta

"husababisha"

kinywa chake hukaribisha mapigo

"kinywa chake husababisha watu kutaka kupiga"

kinywa chake

"maneno yake anayosema"