sw_tn/pro/16/05.md

296 B

kila mmoja mwenye moyo wa kiburi

"kila mtu mwenye kiburi"

hawatakosa kuadhibiwa

"Yahwe atawaadhibu"

kwa agano la uaminifu na mdhamana kosa hulipiwa

"Yahwe hulipa kwa ajili ya uovu kwa agano la uaminifu na mdhamana"

watu hugeuka kutoka katika uovu

"watu huacha kufanya mambo maovu"