sw_tn/pro/15/21.md

317 B

mtu mwenye ufahamu hutembea katika njia iliyonyooka

"mtu mwenye ufahamu hutenda yaliyo sawa"

mipango hubatilika

"mipango hushindikana"

ambapo hapana ushauri

"wakati hakuna mtu wa kutoa ushauri"

washauri

watu ambao hutoa mwongozo wa mapendekezo kwa ajili ya shughuli

hufanikiwa

"mipango hufanikiwa"