sw_tn/pro/15/03.md

274 B

macho ya Yahwe yapo kila mahali

"Yahwe huona kila kitu"

mema na maovu

"watu wema na watu waovu"

ulimi uponyao ni mti wa uzima

" maneno ya upole ni kama mti ambao hutoa uzima"

ulimi wenye kudanganya huvunja moyo

"kauli ya uongo husababisha mtu kuvunjika moyo"