sw_tn/pro/11/25.md

361 B

atafanikiwa

"atapata zaidi"

yule ambaye

"mtu ambaye ni mkarimu" au" mtu yeyote"

mtu ambaye hukataa kuuza

mtu ambaye hubania utajiri wake badala ya kuwasaidia ambao ni wahitaji

yeye auzaye zawadi jema hukifunika kichwa chake

zawadi njema hutolewa kama taji ya heshima kwa yule ambaye huuza" au " mtu ambaye huiuza anaheshimiwa kwa baraka nyingi"