559 B
559 B
Maelezo ya Jumla
Hekima anaendelea kuongea, akieleza ambacho hutokea kwa wale ambao humdharau.
Mimi nitacheka
kwa hiyo hekima ya mwanamke inawacheka kwa sababu wameipuuza.
katika msiba wenu
" mambo mabaya yanapotokea kwenu"
wakati hofu itakapo kuja
"wakati mtakapoogopa"
wakati hofu ya kuogopesha itakapokuja kama dhoruba... kama kisulisuli ... kuja juu yenu
mambo ya kutisha yatakayotekea kwa watu yanalinganishwa kama dhoruba itayowakumba na kusababisha hofu na maumivu.
kisulisuli
dhoruba ya upepo mkali ambao husababisha uharibifu