sw_tn/pro/01/26.md

559 B

Maelezo ya Jumla

Hekima anaendelea kuongea, akieleza ambacho hutokea kwa wale ambao humdharau.

Mimi nitacheka

kwa hiyo hekima ya mwanamke inawacheka kwa sababu wameipuuza.

katika msiba wenu

" mambo mabaya yanapotokea kwenu"

wakati hofu itakapo kuja

"wakati mtakapoogopa"

wakati hofu ya kuogopesha itakapokuja kama dhoruba... kama kisulisuli ... kuja juu yenu

mambo ya kutisha yatakayotekea kwa watu yanalinganishwa kama dhoruba itayowakumba na kusababisha hofu na maumivu.

kisulisuli

dhoruba ya upepo mkali ambao husababisha uharibifu