sw_tn/php/04/14.md

637 B

katika dhiki zangu

"wakati ambapo mambo yanakuwa magumu"

mwanzo wa injili

Hii humanisha wakaati Paulo alipokuwa akisafiri kwenda maeneo mbalmbali kwa ajili ya kuwaambia watu habari za Yesu.

hakuna kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi peke yenu.

"ninyi ndiyo kanaisa pekee lililonitumia pese au mlionisaidia"

nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu

Paulo analinganisha zawadi za kanias na utajiri wa mtu ambao unaongezeka zaidi na zaidi. Paulo anawataka Wafilipi watoe matolea ili wapate baraka za kiroho. "Napenda kumuona Mungu akiwapeni baraka za rohoni zaidi na zaidi"