sw_tn/php/04/08.md

763 B

Hatimaye

Hili ni hitimisho la sehemu hii ya waraka. Paulo sasa anaelekea kutoa muhtasari wa jinsi wakristo wanavyotakiwa kuishi pale wanapohitaji amani ya Mungu.

ndugu

Neno hili humaanisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni Baba wa mbinguni

kama kuna mambo ya upendo

"ni mambo yanayopendeza"

kama kuna mambo yenye taarifa njema

"haya ni mambo ambayo watu huyatamani" au "mambo ambayo watu huyaheshimu"

kama kuna mambo ya busara

"haya ni mambo ya busara na tabia njema"

na kama kuna mambo yanayohitaji sifa

"kama kuna kisababishi cha sifa"

yale miliyojifunza, mliyopokea, na kuniona nikifanya

'yale niliyowafundish na kuwaonyesha"