sw_tn/php/03/06.md

418 B

Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa

Nilidhamiria kuwaumiza waumini wa Kikiristo

kwa kuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria

"Nilitii sheria sheria yote kikamilifu"

mambo yote niliyaona kuwa faida kwangu

hapa Paulo anajea kwenye sifa alizozipata kwa kuwa Mfarisayo mwenye shauku.

Nayahesabu yote kama takataka

Paulo anamalizia kwamba matendo yake ya haki katika dini yalikuwa bure mbele Kristo.