sw_tn/phm/01/17.md

822 B

kama unanichukulia kama mshiriki

"kama wewe unanidhania mimi mtenda kazi wa Kristo"

unidai mimi malipo

"malipo yatatoka kwangu" au "sema kwamba mimi ni mmoja wa unaowadai."

mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu

Paulo niliyeandika hivyo, kwamba Filemoni ujue kwamba ni maneno ya kweli; Paulo kweli angemlipa. "Mimi, Paulo, ninaandika hivi mwenyewe."

Sikutaka kukwambia

"Sikuhitaji kukukumbusha wewe" "wewe unajua"

unanidai maisha yako

"wewe unanidai maisha yako" Paulo anamwambia Filemoni asiseme kuwa anawadai Onesmo au Paulo maisha yake kwa sababu Paulo anamdai zaidi Filemoni. "Ninakudai zaidi maana nimeyaokoa maisha yako"

furahisha moyo wangu

Paulo alitaka Onesmo angefanya kwa uaminifu: furahisha moyo wangu kwa kumkubali Onesmo. "uufanye moyo wangu ufurahi" au "unifurahishe" au "unifariji."