36 lines
676 B
Markdown
36 lines
676 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu
|
|
|
|
# ndugu yako Yakobo
|
|
|
|
AT "jamaa zako ambao ni wazao wa Yakobo."
|
|
|
|
# utafunikwa na aibu
|
|
|
|
"utakuwa na aibu kabisa"
|
|
|
|
# zitakatwa milele
|
|
|
|
"haitakuwepo tena."
|
|
|
|
# alisimama karibu
|
|
|
|
"alitazama na hakufanya chochote kusaidia"
|
|
|
|
# wageni
|
|
|
|
watu kutoka mataifa mengine
|
|
|
|
# mali yake
|
|
|
|
Neno 'wake' linamaanisha 'Yakobo,' ambayo ni njia nyingine ya kutaja watu wa Israeli.
|
|
|
|
# kupiga kura kwa ajili ya Yerusalemu
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha 'walipiga kura ili kuamua nani atakayepata vitu muhimu ambavyo walichukua kutoka Yerusalemu.'
|
|
|
|
# ulikuwa kama mmoja wao
|
|
|
|
"ilikuwa ni kama wewe ulikuwa mmoja wa wageni hawa na wageni"
|