sw_tn/mrk/16/17.md

546 B

Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio

Mariko anasema juu ya miujiza kama vile watu wanaenda pamoja na wakristo. "Watu wanawatazama wale wanaomini wataona mambo haya kutokea na kujua niko pamoja na wakristo"

Kwa jina langu

Maana zinaweza kuwa 1) Yesu anataja orodha ya kiujumla: "Katika jina langu watafanya mambo kama haya: Wa" au 2) Yesu anatoa orodha sahihi: "Haya ni mambo watakayo fanya katika jina langu"

Katika jina

Hapa "jina" linahusishwa na mamlka ya Yesu na nguvu. "Kwa nguvu ya jina langu" au " Kwa nguvu za jina langu