sw_tn/mrk/08/38.md

584 B

Katika kizazi hiki cha zinaa na dhambi

Yesu anazungumza juu ya kizazi hiki kama "wazizi" akimaanisha kwamba si waaminifu katika mahusiano yao na Mungu. "katika kizazi hiki cha watu waliojiingiza katika uzizi kinyume na Mungu na niwazinifu" au "katika kizazi hiki cha watu wasio waaminifu kwa Mungu na ni wenye dhambi"

Mwana wa Adamu

Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu

atakapokuja

"atakapokuja tena"

katika utukufu wa Baba yake

Wakati ambapo Yesu anakuja atakuwa na utukufu ule ule kama wa Baba yake

pamoja na malaika watakatifu

"atafuatana na malaika watakatifu"