sw_tn/mrk/08/29.md

383 B

Akawauliza

"Yesu akawauliza wanafunzi wake"

Yesu akawaonya wasimwabie mtu yeyote kumuhusu Yeye.

Yesu hakutaka wao wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ni Kristo. Hii inaweza kufanywa kwa usahihi. Pia, hii inaweza kuandikwa kama dondoo ya moja kwa moja. "Yesu aliwaonya wasimwambie mtu yeyote kuwa ye ni Kristo" au " Yesu aliwaonya, 'msimwambie mtu yeyote kwamba mimi ni Kristo"