500 B
500 B
Akawambia
"Yesu akawambia umati"
kwa kuwa kipimo mpimacho
maana zinazowezekana ni 1) Yesu anazungumza kipimo halisi na ukarimu kwa wengine au 2) huu mfano ambao Yesu anazungumzia wa "kuelewa" kama ilikuwa ni "kupima"
ndicho mtakachopimiwa, na itaongezwa kwenu
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atakupima, na atakuongezea"
yeye atapokea zaid...na yule vitachukuliwa
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kwa yeye Mungu atampa zaidi...kutoka kwake Mungu atavichukua"