sw_tn/mrk/04/10.md

947 B

Yesu alipokuwa peke yake

Hii haimaanishi kwamba Yesu alikuwa kabisa peke yake, hapa, umati wa watu ulikuwa umeenda na Yesu alikuwa na wanafunzi kuma na wawili na wafuasi wengine baadhi.

Kwenu mmepewa

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu amekupa wewe" au "Nimekwisha kukupa wewe"

kwa walio nje

"lakini kwa wale hawako miongoni mwenu" Hii urejea kwa wote wale hawakuwa miongoni mwa wanafunzi kumi na wawili au wafuasi wengine wa Yesu.

kila kitu kiko katika mifano

Inaweza kusemwa kwamba Yesu anatoa mifano kwa watu. " Nimezungumza vyote katika mifano"

wanapotazama... wanaposikia

Inakisiwa kwamba Yesu anazungumza kuhusu watu akitazama kwa kile anacho waonyesha na kusikia kile anacho wambia. "wanapotaza kile nafanya... wanaposikia kile nachosema "

wanatazama, lakini hawaoni

Yesu anazungumzia watu wanaoelewa wanachokiona kwa uhalisia. "wanatazama na hawaelewi"

geuka

Hii inamaanisha kugeuka mbali na dhambi