sw_tn/mrk/03/26.md

517 B

Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika

Neno "mwenyewe" ni nomino tendaji ambayo inarejea tena kwa Shetani, na mfano mbadala wa roho chafu zake. "Kama Shetani na roho zake chafu waligombana" au "kama Shetani na roho zake chafu wameinukiana dhidi ya mwenzake na wamegawanyika"

hawezi kusimama

Huu ni mfano unamaanisha ataanguka na hawezi kuvumilia. "atakoma kuwa pamoja" au "hawezi kuvumilia na amefika mwisho" au "ataanguka na amefika mwisho.

mnyang'anyi

kuiba vitu vya dhamani vya mtu