615 B
615 B
Aliangalia
"Yesu aliangalia"
alihuzunika
"alikuwa na huzuni kubwa"
ugumu wa mioyo yao
Huu mfano unaelezea jinsi Mafarisayo hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa huyo mtu aliye kuwa na mkono uliopooza. "hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa mtu huyo"
Nyosho mkono wako
"Nyosha mkono wako"
mkono wake uliponywa
Hii inaweza kutajwa na kauli tendaji. "Yesu alimponya mkono wake" au Yesu aliufanywa mkono wake kama ulivyo kuwa awali"
wakafanya njama
walianza kufanya mpango
Maherode
Hili ni jina la kisiasa lilompa nguvu Herode wa Antipasi
kwa namna gani watamuua
"kwa namna gani watamuua Yesu"