sw_tn/mrk/01/04.md

671 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari hii maneno "yeye" mwanaume, "yule" mwanaume, na "ake" mwanaume urejee kwa Yohana.

Yohana alikuja

Hakikisha wasomaji wako wanaelewa kwamba Yohana alikuwa mtumwa aliyekuwa amenenwa na nabii Isaya katika mistari ya awali.

Nchi yote ya Yuda na watu wote Yerusalemu

Maneno "yote" na "wote" hapa ni maneno ya zaidi hutumiwa kusisitiza kwamba kulikuwa na idadi kubwa ya watu. AT: "Watu wengi kutoka Yuda na Yerusalemu"

Walibatizwa na yeye...kukiri dhambi zao

Haya matendo mawili yalitokewa wakati ule ule. Watu walibatizwa kwa sababu walitubu dhambi zao. AT: "Pindi walipotubu dhambi zao, Yohana aliwabatiza katika mto wa Yordani"