sw_tn/mic/07/16.md

350 B

Wataweka mikono yao juu ya midomo yako; masikiio yao yatakuwa kiziwi

Hii inaonyesha jinsi walivyo na hofu, sana hivyo hawawezi kujibu.

Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitambaavyo juu ya nchi

Virai vyote vinamaanisha jambo moja. Maadui wa Mungu wataaibishwa kabisa na kuja kwake katika hofu baada ya kuona mambo yenye nguvu ayafanyayo.