sw_tn/mic/07/09.md

435 B

Kwa sababu nimetenda dhambi

Mika hajirejei yeye pekee. Anamaanisha watu wote wa Israeli wametenda dhambi.

hata niteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu

Hii inarejea wakati Mungu aamuapo amewaadhibu watu wake mno. Kisha atawaadhibu watu wa mataifa mengine ambao waliowajeruhi watu wa Israeli.

Atanileta kwenye nuru

" Atakuja na kutuokoa kutoka maadui zetu. Itakuwa kama kumleta mtu katika giza kwenye nuru"