sw_tn/mic/06/09.md

520 B

Sauti ya Yahwe inatangaza kwenye mji

"Yahwe anawatangazia watu wa Yerusalemu"

hata hivyo hekima hukiri jina lako

"na mtu mwenye hekima atamuogopa Yahwe" au "na mtu mwenye hekima atatii kile Yahwe asemacho"

Kuwa tayari kwa ajili ya fimbo, na kwa yule aliyeiweka

Hapa "fimbo" inarejea kwa adui askari ambaye Yahwe atawaadhibu watu wake.

kipimo cha uongo

Hii inataja mizani isiyopima vitu kwa usahihi hivyo mtu anaweza kuwaibia wengine kwa madhumuni na kutengeneza pesa nyingi zaidi kwa ajili yake mwenyewe.