sw_tn/mic/03/12.md

657 B

kwa sababu yenu

Hapa "ninyi" inawarejea makuhani, manabii, na wakuu wa wa mstari uliopita.

Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msitu.

Mika anamaanisha kwamba Yerusalemu itaharibiwa kabisa. Mji mkubwa pamoja na watu wengi waishio huko wakuwa wametelekezwa na kukomaa kama shamba au msitu.

Sayuni atalimwa kama shamba

Baada ya uharibifu wake, Yerusalemu atapatikana kwa kulimwa. "Watu wengine watailima Sayuni kama shamba."

na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msitu.

Hakuna hata eneo la hekalu litakaloacha kuharibiwa. Wakuu wamelipotosha, na litaharibiwa pia.