sw_tn/mic/03/08.md

523 B

Lakini kwangu

"Mimi" hapa inamrejea Mika, nabii wa kweli amejitenga kutoka manabii wa uongo.

Nimejaa uwezo kwa Roho ya Yahwe, na nimejaa haki na uweza

Roho wa Yahwe alichagua kumpatia Mika nguvu, haki, na uweza katika uhodari, njia ya aina yake. "Roho wa Yahwe amenijaza nguvu, haki, na uweza" au "Roho wa Yahwe amenipa nguvu, haki, na uweza"

kumtangazia Yakobo kosa lake, na kwa Israeli dhambi yake

Hivi virai vyote vinamaana moja na kusisitiza hao watu wote wa falme zote kaskazini na kusini wamefanya dhambi.