sw_tn/mat/23/32.md

362 B

Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.

"Ninyi mna kamilisha dhambi ambazo babu zenu walizianzisha,"

Enyi nyoka, enyi wana wa vipiribao.

"Ninyi ni waovu na hatari kama nyoka wenye sumu."

wana wa vipiribao

tazama 3:7

Jinsi gani mtaepuka hukumu ya jehanamu?

"Hakuna njia mnayoweza kutumia kuepuka hukumu ya jehanamu!"