sw_tn/mat/23/06.md

306 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuongea na makutano kuhusu Mafarisayo

maeaneo ya kifahari ... viti vya heshima

Maeneo yaote haya na yale amabayo watu muhimu hukaa

maeneo ya sokoni

Maeneo makubwa ya wazi amabyo watu huuza na kununua bidhaa

na kuitwa 'Rabi' na watu

"ili watu wawaite rabi"