sw_tn/mat/11/07.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kusema na makutano kuhusu Yohana mbatizaji.

Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?

Yesu alitumia swali ili kuwafanya watu wafikiri kuhusu Yohana kuwa ni mtu wa aina gani." Kwa hakika hamkuenda jangwani kuona tete ... upepo.

tete likitikiswa na upepo

Hii inaweza kumaanisha 1) majani halisi ya mto Yorodani au 2) Yesu anatumia sitiari kumaanisha aina ya mtu. "mtu anayebadili fikra zake ni kama tete linalopeperushwa na upepo.

likitikiswa na upepo

Hii inaweza kutafsirwa katika mfumo tendaji. "yumbishwa na upepo" au "peperushwa na upepo"

Lakini ni nini mlikwenda kuona _ mtu aliyevaa mavazi?

Yesu anatumia swali ili kuwafanya watu wafikiri juu ya Yohana kuwa ni mtu wa aina gani. Kwa kweli hamkwenda jangwani ili kuona mtu ... aliyevaa?

aliyevaa mavazi mororo

"kuvaa mavazi yenye gharama kubwa." Watu majiri walivaa mavazi ya aina hii.

Hakika

Hili neno, linaongezea msisitizo kwa kile kinachofuata. "kwa kweli"

nyumba za wafalme

"ikulu za wafalme"