sw_tn/mat/10/28.md

2.0 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake juu ya dhiki amabyo wanapaswa kuivumilia wakati watakapoenda kuhubiri

Melezo kwa ujumla

Hapa Yesu pia anaanza kutoa sababa kwa nini wanafunzi wake hawapaswi kuiogopa dhiki ambayo itawapata.

Msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho

Hii haina maana ya kutenganisha kati ya watu wanaoweza kuua mwili na wale wanaoweza kuua roho. Hakuna mtu anayeweza kuua roho. "Msiwaogope watu. Wanaweza kuua mwili, lakini hawawezi kuua roho"

Kuua mwili

Hii inamaanisha kusababisha mauti ya mwili. Ikiwa maneno haya ni magumu, yanaweza kutafsiriwa kama "kukua wewe" au "Kuua watu wengine."

mwili

Sehemu ya mtu inayoweza kuguswa, tofauti na roho au nafsi isiyoweza kuguswa.

kuua roho

kudhuru watu baada ya kufa

roho

sehemu ya mwanadamu ambayo haiwezi kuguswa na ambayo inaishi baada ya kifo cha mwili

mwogopeni yule anayeweza

unaweza kuongeza "kwa sababu" ili kufafanua kwa nini watu wamwogope Mungu. "Mwogopeni Mungu kwa sababu yeye anaweza"

Je, mashomoro wawili hawauzwi kwa senti ndogo

Yesu anaieleza mithali hii kwa njia ya swali kuwafundisha wanafunzi wake. "Fikiria kuhusu mashomoro . Wana thamani ndogo sana kiasi kwamba unaweza kuwanunua wawili kwa salafu kidogo.

Mashomoro

Hawa ni ndege wadogo, wanaokula mbegu. "ndege wadogowadogo"

sarafu ndogo

Hii mara nyingi inatafsiriwa kama sarafu yenye thamani ndogo kabisa katika nchi. inamaanisha sarafu ya shaba thamani yake ni sawa na sehemu ya kumi na sita ya malaipo ya kibarua. "kiasi kidogo cha fedha"

hakuna anayeweza kuanguka chini bila baba yenu kufahamu

Haya maelezo yanaweza kutafsiriwa kataika mfumo tendaji. "Baba yenu anafahamu hata shomoro mmoja akifa na kuanguka chini"

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Hata idadi ya nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa

Hii inaweza kuelezeka katika mfumo tendaji. "Mungu anajua hata kiasi cha nywele kichwani pako"

zimehesabiwa

"zimehesabiwa"

Mnathamani zaidi kuliko kasuku wengi

"Mungu anawathamini kuliko mashomoro wengi"