sw_tn/mat/02/11.md

568 B

Maelezo yanayounganisha:

Hapa mandhari yanahamia kwenye nyumba mahari Mariamu, Yusufu, na mtoto mchanga Yesu walikuwa wakiishi.

walienda

"Mamajusi walienda"

abudu

Trafsiri neno hili kama ulivyofanya katika Mat.1:1

Hazina zao

"hazina" humaanisha kasha au mifuko waliotumia kubebea hazina. "vyombo ambavyo vilishikilia hazina zao."

Mungu aliwaonya

"Baadaye, Mungu aliwaonya mamajusi." Mungu alijua kwamba Herode alitaka kumdhuru mtoto.

wasirudi kwa Herode

Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu ya moja kwa moja. "kusema, 'Msirudi kwa mfalme Herode."