sw_tn/luk/07/27.md

1.1 KiB

Huyu ndiye aliyeandikiwa

"Nabii huyo ni yule manabii waliyeandika kumhusu" au "Yohana ni yule manabii walimwandika wakati mrefu uliopita"

Tazama, mimi namtuma

katika mstari huu, Yesu anamnukuu nabii Malaki na kusema kuwa Yohana ni mjumbe wa kile Malaki alisema.

Mbele ya uso wako

Nahau inamaana "Mbele yako" or "kwenda mbele yako"

yako

Neno "Yako" ni umoja kwa sababu Mungu aliongea kwa masihi katika nukuu.

Nasema kwako

Yesu alikuwa anaongea na makutano hivyo "Ninyi" ni wingi. Yesu alitumia kirai hiki kusisitiza ukweli wa vitu vya kushangaza aliokuwa anaenda kuusema.

kati ya waliozaliwa na mwanamke

"baadhi ya wale mwanamke amewazaa" hii ni sitiari lakini inalenga kwa watu wote. NI: "watu wote waliowahi kuishi."

Hakuna aliye mkuu kuliko John

"Yohana ni mkuu zaidi"

angalau mtu mhimu katika ufalme wa Mungu

Hii inahusiana na kila mtu ambaye ni sehemu ya ufalme ambao Mungu atauanzisha.

Ni mkuu kuliko alivyo

kiwango cha kiroho cha watu katika ufalme wa Mungu kitakuwa cha juu kuliko cha watu kabla ya ufalme uliokuwa umeanzishwa. NI: "kiwango cha kiroho cha juu kuliko Yohana"