sw_tn/luk/02/08.md

244 B

Malaika wa Bwana

""malaika kutoka kwa Bwana" au "malaika anayemtumikia Bwana"

aliwatokea

"akaja kwa wachungaji"

utukufu wa Bwana

chanzo cha mwanga mweupe ulikuwa ni utukufu wa Bwana, ambao uliwatokea kwa wakati ule ule kama malaika.