sw_tn/lev/20/13.md

415 B

mwanaume analala na

Tazama ililivyofasiriwa katika 20:11-12

kama alalavyo na mwanamke

Namana anavyomtendea mwanaume ndivyo angemtendea mwanamke. : "ni kama vile tu angelifanya na mwamke"

jambo lililo ovu.

"jambo la aibu" au "jambo la kuchukiza"

Hakika watauawa

Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwaua hakika"

mwanaume huyo na manamke huyo

Tazama maelezo ya sura 20:12